Breaking News

Sunday

ALICHO KISEMA SUGU BAADA YA KUTOA KAULI TATANISHI KWA WAZIRI MKUU.



Mbunge wa mbeya mjini,Mhe Joseph Mbilinyi(sugu)ameomba radhi kwa mhe Pinda na watanzania kwa ujumla kwa Lugha aliyotumia katika kuonyesha hisia zake juu ya kauli aliyoitoa mhe panda bungeni.amesema haya “naombeni radhi kwa tusi nilililitoa kwa mhe Pinda ,kwani nilikuwa nimeghafirika haikuwa kusudio langu kumtukana mmoja wa viongozi wan chi.”
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Chapisho Lililoangaziwa

WEDDING PARTY PHILLIPO AND LUSIO

PHILLIPO & LUSIO WEDDING PARTY: STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING MC & MUSIC BY MC SIMBA COMPANY 0715 501 059 ...

Jumla ya Mara Iliyotazamwa

67156
Powered by Blogger.

Pages