Breaking News

Tuesday

BREAKING NEWS: MBUNGE WA MBEYA MJINI CHADEMA APATA AJALI.



Mbunge wa Mbeya mjini ambaye pia ni msanii wa bongo flava , mh.Joseph Mbilinyi amepata ajali hivi punde katika eneo la kasheki wilayani Hanan'g akielekea Arusha mjini.
 
Joseph Mbilinyi maarufu kwa jina la Sugu alikuwa akielekea Arusha mjini kuungana na wabunge wengine katika shughuli ya kuwaaga marehemu waliolipukiwa na bomu kwenye mkutano wa Chadema, mwishoni mwa wiki iliyopita.
katika ajali hiyo hakuna mtu aliye jeruhiwa mbunge huyo yupo salama kabisa,gari la sugu limeharibiwa vibaya baada ya kugonganana basi hilo la abiria. 
*ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU*
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Chapisho Lililoangaziwa

WEDDING PARTY PHILLIPO AND LUSIO

PHILLIPO & LUSIO WEDDING PARTY: STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING MC & MUSIC BY MC SIMBA COMPANY 0715 501 059 ...

Jumla ya Mara Iliyotazamwa

67151
Powered by Blogger.

Pages