Eeneo la Mazishi likiendelea kama lionekanavyo kwa mbaali.
Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakirekodi yaliyokuwa yakijiri kwenye mazishi hayo.
Ibada ya mazishi ikiendelea kabla ya sanduku la marehemu Albert Mangwea kushushwa kaburini. Na pichani chini ni baadhi ya watu wakianza kuondoka sehemu ya mazishi.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro,Mh Joel Bendera akizungumza machache ndani ya uwanja wa Jamuhuri wakati watu mbalimbali walijitokeza kuaga mwili wa Msanii Albert Mangwea.
Pichani kulia ni Mh Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu sambamba na ndugu jamaa na marafiki wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri uwanjani hapo wakati wa sala ya kumuombea marehemu Mangwea ikiendelea.
Msanii Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya,Afande Sele sambambana na watu wengine wakielekea kutoa heshima zao za mwisho
YAFUATAYO NI BAADHI YA MATUKIO YALIYO TOKEA KWENYE MAZISHI YA MSANII MANGWEA.
MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI AMINA.
0 comments:
Post a Comment