Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Linex akiwasalmia mashabiki na
wapenzi wa muziki walio furika kwa wingi ndani ya uwanja wa
jamhuri.usiku huo kulikuwa na bonge moja la show ya Kilimanjaro Tanzania
Music Tour 2013.
Msanii aliyejinyakulia Tuzo kadhaa za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013.Ommy Dimpoz alienda sambamba na timu yake ya Madansa wakitoa burudani ya kufa mtu ndani ya uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma usiku huu.
Beni pol akiwa jukwaani na kuwatumbuiza watu ipasavyo
Msanii wa hip hop mwenye tuzo nne za kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013,Kala Jeremiah akifanya vitu vyake ndani ya Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
j'dee akiparform na kuwapagawisha mashabiki wake jukwaani.
mashabiki wa muziki wa bongo wakishangilia na kufurahiya tukio hilo lililo fana.
PROF J akifanya mambo yake jukwaan.
0 comments:
Post a Comment