Breaking News

Friday

ARSENAL WAANZA MAANDALIZI YA MSIMU MPYA KWA AINA YAKE...NI FULL KUNYANYUA MAVYUMA NA KUFUKUZA UPEPO.



Theo Walcott 'akipiga chuma

Jack Wilshere na Emmanuel Frimpong wakiwa kwenye mazoezi ya kunyanyua vitu vizito



NYOTA wa uzito wa juu wa Arsenal wamerejea mazoezini jana asubuhi huku kikosi cha Arsene Wenger kikianza maandalizi ya msimu mpya.
Na The Gunners wakielekea kwenye kampeni ya kushinda taji la kwanza kwa zaidi ya miaka nane, wachezaji walifanya mazoezi mepesi ya kukimbia na kunyanyua vitu vizito katika Uwanja wao wa mazoezi wa Colney, London. 
Mashabiki wa Arsenal watamuona Jack Wilshere akifanya mazoezi kikosini, na wengi wakiamini uimara wa nyota huyo wa England ni dalili nzuri kwa kikosi cha Wenger kuelekea msimu mpya. 

Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Chapisho Lililoangaziwa

WEDDING PARTY PHILLIPO AND LUSIO

PHILLIPO & LUSIO WEDDING PARTY: STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING MC & MUSIC BY MC SIMBA COMPANY 0715 501 059 ...

Jumla ya Mara Iliyotazamwa

67145
Powered by Blogger.

Pages