Breaking News

Wednesday

AUNT EZEKIEL AGOMA KUMFATA MUMEWE


Walitegemea kuwa Aunt Ezekiel ataungana na mumewe Sunday katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani lakini hali imekuwa ni tofauti.
Aunt anayetumia jina la Rahma baada ya kubadili dini ili aolewe na mwanaume huyo, amemtosa mkaka huyo na kuendelea kula bata nchini huku akidai kuwa mumewe hana mengi.
"Sina mpango wowote wa kuondoka nchini kumfuata mwanaume.Yeye ni mume wangu, ntamkuta tu hata nikienda mwakani.
"Kwanza mume wangu hana mengi na si mkorofi na anajua wazi kwamba sipendi kubanwa.Kwa sasa nina mambo mengi likiwemo hili la kuisambaza filamu yangu mpya ya Scola mwezi ujao"...Alisema aunt Ezekiel
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Chapisho Lililoangaziwa

WEDDING PARTY PHILLIPO AND LUSIO

PHILLIPO & LUSIO WEDDING PARTY: STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING MC & MUSIC BY MC SIMBA COMPANY 0715 501 059 ...

Jumla ya Mara Iliyotazamwa

67225
Powered by Blogger.

Pages