Breaking News

Monday

HAYA NDIYO MATUKIO YA RAIS BARRACK OBAMA NCHINI TANZANIA.

RAIS OBAMA akitelemka kwenye Air Force One na mtoto wake pembeni mara baada ya kuwasili katika ardhi ya Tanzania wakati akitokea afrika ya Kusini majira ya saa 8 mchana kwa ziara ya kikazi nchini.

Barack Obama akipokewa na Wananchi wa  Tanzanian huku wanaband wakitumbuiza nyimbo mbalimbali kwenye uwanja wa Mwl.Julius Kambarage jijini Dar es Salaam leo hii mchana akitoka Africa kusini.

Rais Obama akipita kwenye kapeti jekundu huku akiwa na furaha na kucheza nyimbo za wabongo kwenye uwanja wa jijini Dar es salaam wa Mwl. Julius Kambarage mchana wa leo.
Rais Obama akifurahiya ngoma za kibongo 

 Ilikuwa ni patashika kwa wacheza ngoma hapa!!! Obama mpaka akaachia Tabasamu
Rais Obama akiyarudi baada ya uvumilivu kumshinda hizo ndo ngoma zetu.

 Rais OBAMA na JAKAYA.
 Wakikabidhiwa maua kuonyesha ishara ya upendo.

RAIS OBAMA AKIWA NA MKE WAKE PAMOJA NA RAIS JAKAYA AKIWA NA MKE WAKE
 OBAMA AKIWA NA MWENYEJI WAKE RAISI JAKAYA WAKIPOKELEWA KWA SHANGWE

 HII NDIYO SHANGWE YA KUMPOKEA RAIS OBAMA BAADA YA KUTUA TANZANIA.


 Rais Barack Obama wa Marekani (kushoto) akizungumza katika mkutano na Waandishi wa habari wa Tanzania na Kimataifa Ikulu Jijini Dar es Salaam jioni hii ambapo mbali na kuzungumzia mstakabali wa ziara yake nchini Tanzania na Afrika pia amezungumzia masulala mbalimbali ya Kimataifa ukiwepo mgogoro na Vurugu zinazoendelea nchini Misri na Congo DRC pia alimpongeza Raisi Jakaya Kikwete kwa juhudi zake kutafuta suluhisho wa migogoro .
Rais George W. Bush na mkewe pia watakwepo hapa nchini Tanzania na pia watajumuika pamoja na  Mr Obama Kesho.

*ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU*


Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Chapisho Lililoangaziwa

WEDDING PARTY PHILLIPO AND LUSIO

PHILLIPO & LUSIO WEDDING PARTY: STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING MC & MUSIC BY MC SIMBA COMPANY 0715 501 059 ...

Jumla ya Mara Iliyotazamwa

67190
Powered by Blogger.

Pages