NYOTA wa Barcelona, Neymar na Jordi Alba wamefanyiwa
kimafanikio upasuaji mdogo wa koo kwa ajili ya kuondoa tonsils jana, klabu hiyo
ya Catalunya imethibitisha.Upasuaji huo ulipangwa na Barca kwa matumaini ya
kumaliza tatizo hilo linalojirudia baina ya wawili hao.
Klabu hiyo ilisema upasuaji ulienda vyema kama ulivyopangwa
na kubainisha kwamba watakuwa nje ya mchezo kwa siku chache sana."Ijumaa
hii, Neymar na Jordi Alba wamefanyiwa kimafanikio upasuaji wa matatizo yao ya
'tonsillitis', ambayo yalikuwa yakijirudia katika wiki za karibuni," klabu
ilibainisha katika tovuti yake."Muda wa kupona kwa wachezaji wote wawili
ni kati ya siku 10."
Wachezaji hao walilazimika kusubiri hadi kumalizika kwa michuano ya Kombe la
Mabingwa wa Mabara - ambalo timu ya Neymar ya Brazil iliifunga ya Jordi.Alba ya
Hispania 3-0 katika fainali - kabla ya kwenda kufanyiwa upasuaji huo.
**ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU**
Wachezaji hao walilazimika kusubiri hadi kumalizika kwa michuano ya Kombe la Mabingwa wa Mabara - ambalo timu ya Neymar ya Brazil iliifunga ya Jordi.Alba ya Hispania 3-0 katika fainali - kabla ya kwenda kufanyiwa upasuaji huo.
**ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU**
0 comments:
Post a Comment