Taarifa zilizo tufikia hivi punde katika chumba
chetu cha habari ni kwamba msanii wa muziki wa hipohop langa amefariki dunia
muda mfupi uliopita.chanzo kinaaminika ni malaria kali. kwa habari zaidi endelea kufuatilia blog yetu.
*ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU*
0 comments:
Post a Comment