Breaking News

Friday

RATIBA YA MAZISHI YA MSANII WA BONGO FLEVA LANGA.




Ratiba ya mazishi ya ndugu yetu Langa kileo ambaye alikuwa msanii wa bongo fleva itakuwa hivi ,msiba upo nyumbani kwa wazazi wake langa maeneo ya Mikocheni nyuma ya Hosp ya AAR zamani kulikuwa na ofisi za Benchmark Production.Mwili wa marehemu utaagwa siku ya Jumatatu majira ya saa 7 mchana na baada ya hapo mwili utaelekea makaribu ya kinondoni kwa mazishi majira ya saa kumi alasiri MUNGU AILAZE PEMA PEPONI ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI AMINA.

*ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU*
Share:

0 comments:

Post a Comment

Chapisho Lililoangaziwa

WEDDING PARTY PHILLIPO AND LUSIO

PHILLIPO & LUSIO WEDDING PARTY: STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING MC & MUSIC BY MC SIMBA COMPANY 0715 501 059 ...

Jumla ya Mara Iliyotazamwa

Powered by Blogger.

Pages