Breaking News

Wednesday

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YATUNUKIWA CHETI NA SHIRIKA LA VIWANGO LA KIMATAIFA (ISO).


Mkurugenzi wa uzalishaji na usambazaji wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Mark Taylor pamoja na meneja wa viwango wa kampuni  ya Bia ya Serengeti Paul Kitambi wakionyesha cheti walicho tunikiwa na shirika la viwango la kimataifa(ISO)kwa wana habari jana katika ofisi za kiwanda cha bia ya Serengeti jana Dar es salaam.


Meneja viwango wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Paul Kitambi akiwa amebeba cheti walichotunukiwa na shirika la viwango la Kimataifa (ISO)mara baada ya kumaliza mkutano na waandishi wa habari jana jijini Dar es salaam.
Meneja mawasiliano ya ndani wa kampuni ya Bia ya Serengeti Imani Lwinga akizungumza jambo katika mkutamo wa waandishi wa habari jana jijini Dar es salaam kushoto ni mkurugenzi wa uzalishaji na usambazaji wa kampuni ya Bia ya SerengetiMark Taylor.


Meneja wa viwangi wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Paul Kitambi akiwa amebeba cheti walichotunukiwa na shirika la Viwango la Kimataifa(ISO)akizungumza katika mkutano huo na waandishi wa habari jana jijini Dar es salaam kulia ni Mkurugenzi wa uzalishaji na usambazaji wa kampuni ya Bia ya Serengeti Mark Tayloy.





Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Chapisho Lililoangaziwa

WEDDING PARTY PHILLIPO AND LUSIO

PHILLIPO & LUSIO WEDDING PARTY: STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING MC & MUSIC BY MC SIMBA COMPANY 0715 501 059 ...

Jumla ya Mara Iliyotazamwa

67222
Powered by Blogger.

Pages