Breaking News

Wednesday

TAMASHA LA KILL MUSIC TOUR 2013 LAZINDULIWA RASMI LEO.

Meneja wa bia ya Kilimanjaro music awards George Kavishe akifafanua jambo wakati wa uzinduzi wa Kill music Tour 2013 jijini Dr es salaam. Kushoto ni Kala Jeremiah na Kulia ni Nassibu Abdalah ‘Diamond’.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Nassibu Abdalah akizungumza na waandishi wa habari kuhusu ziara ya kwenye mikoa 8 ambapo jumla ya wasanii 24 watashiriki.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Kala Jeremiah akizungumzia ziara hiyo ya wasanii katika mikoa 8 ikishirikisha wasani 25.
Chazi Baba akitoa vionjo vya moja ya nyimbo zake.Chazi Baba ni miongoni mwa wasanii waliyo inyakulia ushindi mkubwa katika mashindano ya kilimanjaro music awards.
Meneja wa Baia ya Kilimanjaro George Kavishe akiteta jambo na Diamond na chaz Baba wakati wa mkutano wa waandishi wa habari kuhusu Kili Music Tour 2013

 Profesa J akiwashukuru wale wote waliompigia kura pamoja na kuwasihi wasanii kutokata tama na kujipanga vizuri katika tuzo za mwakani ili waje kungara.

Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Chapisho Lililoangaziwa

WEDDING PARTY PHILLIPO AND LUSIO

PHILLIPO & LUSIO WEDDING PARTY: STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING MC & MUSIC BY MC SIMBA COMPANY 0715 501 059 ...

Jumla ya Mara Iliyotazamwa

67224
Powered by Blogger.

Pages