Monday
Home »
» MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA KIBANDA.
MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA KIBANDA.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mhariori wa Jukwaa la Wahariri na Mhariri Mtendaji wa New Habari (2006) Ltd, Absalom Kibanda, wakati alipofika Ofisini kwa Makamu wa rais Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 10, 2013 kwa mazungumzo. Kibanda alimtembelea Mhe. Makamu ili kumwelezea hali yake kiafya inavyoendelea baada ya matibabu.
*ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU*
0 comments:
Post a Comment