

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na mfalme Mswati wa
Swaziland ambaye aliondoka nchini baada ya kufungua maonyesho ya Kiataifa
ya Biashara kwenye uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam
Julai 1, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
*ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU*
0 comments:
Post a Comment