**ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU**
Wednesday
Home »
» OBAMA ALIPOKUTANA NA BUSH TANZANIA.
OBAMA ALIPOKUTANA NA BUSH TANZANIA.
Rais Obama pamoja na Bush walikutana leo Asubuhi katika Ubalozi wa Marekani uliopo jijini Dar es Salaam na kufanya tendo la kutoa heshima zao kwa Walipoteza Maisha pamoja na wale wote walioathirika katika shambulio la Ugaidi katika Ubalozi wao hapa nchini mwaka 1998
0 comments:
Post a Comment