Breaking News

Friday

JIMBO LA WAZIRI MULUGO KUWA MAKAO MAKUU YA MKOA MPYA WA SONGWE.



Naibu Waziri Elimu na Mafunzo ya Ufundi Philip Mulugo
MKOA wa Mbeya umepitisha mapendekezo ya mkoa mpya ambao makao yake makuu yatakuwa katika eneo la Mkwajuni ambako ndiko liliko jimbo la Naibu Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Philip Mullugo.
Mapendekezo hayo yamepitishwa leo katika kikao cha RCC kilichoketi katika ukumbi wa mikutano wa Mkapa Jijini Mbeya.
Jina la mkoa huo limependekezwa kuwa uitwe mkoa wa Songwe.

Chanzo www.kalulunga.blogspot.com
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Chapisho Lililoangaziwa

WEDDING PARTY PHILLIPO AND LUSIO

PHILLIPO & LUSIO WEDDING PARTY: STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING MC & MUSIC BY MC SIMBA COMPANY 0715 501 059 ...

Jumla ya Mara Iliyotazamwa

67153
Powered by Blogger.

Pages